Tafakuri ya 16, Āyat 90:1 – 4; Hatari za Raha na Starehe
لاَ أُقْسِمُ بِهَذَا الْبَلَدِ* وَأَنْتَ حِلٌّ بِهَذَا الْبَلَدِ* وَوَالِدٍ وَمَا وَلَدَ* لَقَدْ خَلَقْنَا الإِنسَانَ فِي كَبَدٍ Naapa kwa mji huu! Nawe unaukaa mji huu. Na kwa mzazi na alichokizaa! Hakika tumemuumba mtu kwa tabu (Suratul Balad, Na. 90, Ayat 1-4). Katika aya hizo hapo juu, Mwenyezi Mungu anatangaza ukweli muhimu; ukweli ambao unaweza ukawa usio … Read more