Tafakuri ya 12, Āyat 13:17 – Haki na Batili

 أَنْزَلَمِنَالسَّمَاءِمَاءًفَسَالَتْأَوْدِيَةٌبِقَدَرِهَافَاحْتَمَلَالسَّيْلُزَبَدًارَابِيًاۚوَمِمَّايُوقِدُونَعَلَيْهِفِيالنَّارِابْتِغَاءَحِلْيَةٍأَوْمَتَاعٍزَبَدٌمِثْلُهُۚكَذَٰلِكَيَضْرِ بُاللَّهُالْحَقَّوَالْبَاطِلَۚفَأَمَّاالزَّبَدُفَيَذْهَبُجُفَاءًۖوَأَمَّامَايَنْفَعُالنَّاسَفَيَمْكُثُفِيالْأَرْضِۚكَذَٰلِكَيَضْرِبُاللَّهُالْأَمْثَالَ Ameteremsha maji kutoka mbinguni na mabonde yakamiminika maji kwa kadiri yake na mvo ukachukua mapovu yaliyokusanyika juu yake. Na katika vile wanavyoyeyusha katika moto kwa kutaka mapambo au vyombo vingine hutokea povu mfano wake. Hivyo ndivyo Mwenyezi Mungu anavyopiga mfano wa haki na batili. Ama povu linakwenda bure; ama kinachowafaa watu hukaa kwenye … Read more

Tafakuri ya 11, Āyat 39:42: Usingizi na Kifo

اَللَّهُ يَتَوَفَّى الْأَنْفُسَ حِينَ مَوْتِهَا وَالَّتِي لَمْ تَمُتْ فِي مَنَامِهَا ۖ فَيُمْسِكُ الَّتِي قَضَىٰ عَلَيْهَا الْمَوْتَ وَيُرْسِلُ الْأُخْرَىٰ إِلَىٰ أَجَلٍ مُسَمًّىۚ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَاتٍ لِقَوْمٍ يَتَفَكَّرُونَ Mwenyezi Mungu huzipokea roho zinapokufa. Na zile zisizokufa wakati wa kulala kwake. Huzishika zilizohukumiwa kufa, na huzirudisha nyingine mpaka ufike wakati uliowekwa. Hakika katika hayo bila ya shaka … Read more

Reflection No. 202 on Q 19:4 – Answering of Prayers

 وَلَمْ أَكُنْ بِدُعَائِكَ رَبِّ شَقِيًّا Walam akun bi-du‘ā’ika Rabbi shaqiyya My Lord, I have never been disappointed in my prayers to You (Sūratu Maryam, No.19, Āyat 4) The above verse is part of the prayer of Nabī Zakariyyā when he asks Allah to grant him a child. He says he is old and feeble but … Read more

Tafakuri ya 10, Āyat 28:83: Tamaa ya Ubora

تِلْكَالدَّارُالْآخِرَةُنَجْعَلُهَالِلَّذِينَلَايُرِيدُونَعُلُوًّافِيالْأَرْضِوَلَافَسَادًاۚوَالْعَاقِبَةُلِلْمُتَّقِينَ Hayo ndiyo makazi ya Akhera, tumewafanyia wale wasiotaka kujitukuza duniani wala ufisadi. Na mwisho ni wa wenye takua. (Suratul Qasas, Na. 28, Aaya 83) Aya hii ya Qur’ani Tukufu inayochochea mawazo inashikilia siri ya ukweli mkubwa. Furaha na utukufu katika Akhera vimehifadhiwa kwa ajili ya wale ambao hawana tamaa ya kujikweza juu ya ardhi. … Read more

Reflection No. 201 on Q 49:12 – Avoiding Suspicion

يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اجْتَنِبُوا كَثِيرًا مِنَ الظَّنِّ إِنَّ بَعْضَ الظَّنِّ إِثْمٌ Yā ayyuhalladhīna āmanūj-tanibū kathīran minz-zanni inna ba‘dhaz-zanni ithm O you who believe! Avoid most of suspicion, for surely suspicion in some cases is a sin. (Sūratul Hujurāt, No. 49, Āyat 12) This verse is part of a passage from Sūratul Hujurāt that talks … Read more

Reflection No. 200 on Q 18:54 – Arguing Reasonably

 وَلَقَدْصَرَّفْنَافِيهَٰذَاالْقُرْآنِلِلنَّاسِمِنْكُلِّمَثَلٍۚوَكَانَالْإِنْسَانُأَكْثَرَشَيْءٍجَدَلًا Walaqad sarrafnā fī hadhal-Qur’āni linnāsi min kulli mathal. Wa kānal-insānu akthara shay’in jadala Surely, We have made this Quran replete with every kind of parable for human being. But man is, in most things, disputative. (Sūratul Kahf, No.18, Āyat 54)   The Holy Quran has many beautiful examples and lessons for people. Despite this … Read more

Tafakuri ya 9, Āyat 5:2: Ushirikiano Katika Jamii

يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ . . . وَتَعَاوَنُواْ عَلَى الْبَرِّ وَالتَّقْوَى وَلاَ تَعَاوَنُواْ عَلَى الإِثْمِ وَالْعُدْوَانِ وَاتَّقُواْ اللَّهَ إِنَّ اللَّهَ شَدِيدُ الْعِقَابِ Enyi mlioamini!  . . . Na saidianeni katika wema na takua wala msisaidiane katika dhambi na uadui. Na mcheni Mwenyezi Mungu; hakika Mwenyezi Mungu ni mkali wa kuadhibu. (Sūratul Maa’idah, Na. 5, Aaya … Read more