Tafakuri ya 4, Āyat 3:37: Ukuaji Kiroho
فَتَقَبَّلَهَا رَبُّهَا بِقَبُولٍ حَسَنٍ Basi Mola wake akamkubalia kwa kabuli nje (Sūrat Āli Imrān, Na. 3, Āyat 37) Wakati mama ya Maryam (a) alipokuwa anajifungua, yeye alitarajia kupata mtoto wa kiume ambaye alikuwa ameweka nadhiri ya kumtoa waqfu kwenye Baytul-Maqdis. Wakati anamzaa msichana, anamuomba Mwenyezi Mungu amkubaliye mtoto huyo. Mwenyezi Mungu anamkubalia kwa mapokezi mema … Read more