Tafakuri ya 14, Āyat 64:14 Hatua za Msamaha (tawba)

وَإِنْ تَعْفُوا وَتَصْفَحُوا وَتَغْفِرُوا فَإِنَّ اللَّهَ غَفُورٌ رَحِيمٌ Na mkisamehe, na mkapuuza, na mkaghufiria, basi Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa maghfira, Mwenye kurehemu. (Suratul Taghābun, Na. 64, Ayat 14) Aya hii inazungumzia kuhusu hatua tofauti za msamaha. Kwa mujibu wa Tafsiir, aya ya 14 ya Surat-Taghbuun ilishuka baada ya wake fulani kujaribu kuwazuia wale Waislamu … Read more

Reflection No. 204 on Q 53:32 – Self Praise

فَلَاتُزَكُّواأَنْفُسَكُمْۖهُوَأَعْلَمُبِمَنِاتَّقَىٰ Falā tuzakkū anfusakum, huwa a‘lamu bimanit-taqā So do not flaunt your piety, He knows best who it is that guards against evil. (Sūratun Najm, No. 53, Āyat 32) Self- praise and boasting is an ugly quality that is greatly disliked by Allah. Those who feel the need to disclose to others what they feel … Read more

Réflexion No. 02: Āyat 9:40 – La victoire vient d’Allah swt

إِلاَّ تَنصُرُوهُ فَقَدْ نَصَرَهُ اللَّهُ إِذْ أَخْرَجَهُ الَّذِينَ كَفَرُوا ثَانِيَ اثْنَيْنِ إِذْ هُمَا فِي الْغَارِ إِذْ يَقُولُ لِصَاحِبِهِ لاَ تَحْزَنْ إِنَّ اللَّهَ مَعَنَا فَأَنزَلَ اللَّهُ سَكِينَتَهُ عَلَيْهِ وَأَيَّدَهُ بِجُنُودٍ لَمْ تَرَوْهَا وَجَعَلَ كَلِمَةَ الَّذِينَ كَفَرُوا السُّفْلَى وَكَلِمَةُ اللَّهِ هِيَ الْعُلْيَا وَاللَّهُ عَزِيزٌ حَكِيمٌ Si vous ne lui portez pas secours…. Allah l’a déjà secouru, lorsque … Read more

Tafakuri ya 13, Āyat 2:21- Taqwa: Kumtambua Mwenyezi Mungu

يَا أَيُّهَا النَّاسُ اعْبُدُوا رَبَّكُمُ الَّذِي خَلَقَكُمْ وَالَّذِينَ مِنْ قَبْلِكُمْ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ Enyi watu! Mwabuduni Mola Wenu ambaye amewaumba ninyi na wale wa kabla yenu, ili mpate kuwa na takua. (Sūratul Baqarah, Na. 2, Aya 21) Aya hii ndio amri ya kwanza ndani ya Qurani Tukufu, inayomwambia binadamu amuabudu Yule Mmoja aliyemuumba yeye na wale … Read more

Reflection No. 203 on Q 10:49 – Dependence on Allah

قُلْ لَا أَمْلِكُ لِنَفْسِي ضَرًّا وَلَا نَفْعًا إِلَّا مَا شَاءَ اللَّهُ Qul lā amliku linafsin dharran walā naf‘an illā māshāa-llāh Say: I do not control for myself any harm, or any benefit except what Allah pleases (Sūrat Yunus, No.10, Āyat 49) Human beings often see themselves as in charge of most of the things they … Read more

Réflexion No. 01: Āyat 16:97 – Une agréable vie

مَنْ عَمِلَ صَالِحًا مِنْ ذَكَرٍ أَوْ أُنثَى وَهُوَ مُؤْمِنٌ فَلَنُحْيِيَنَّهُ حَيَاةً طَيِّبَةً وَلَنَجْزِيَنَّهُمْ أَجْرَهُمْ بِأَحْسَنِ مَا كَانُوا يَعْمَلُونَ Quiconque, mâle ou femelle, fait une bonne œuvre tout en étant croyant, nous les ferons vivre une bonne vie et Nous les récompenserons, certes, en fonction des meilleures de leurs actions. (Sūratul Nahl, N°16 Ayat 97)   … Read more

Tafakuri ya 12, Āyat 13:17 – Haki na Batili

 أَنْزَلَمِنَالسَّمَاءِمَاءًفَسَالَتْأَوْدِيَةٌبِقَدَرِهَافَاحْتَمَلَالسَّيْلُزَبَدًارَابِيًاۚوَمِمَّايُوقِدُونَعَلَيْهِفِيالنَّارِابْتِغَاءَحِلْيَةٍأَوْمَتَاعٍزَبَدٌمِثْلُهُۚكَذَٰلِكَيَضْرِ بُاللَّهُالْحَقَّوَالْبَاطِلَۚفَأَمَّاالزَّبَدُفَيَذْهَبُجُفَاءًۖوَأَمَّامَايَنْفَعُالنَّاسَفَيَمْكُثُفِيالْأَرْضِۚكَذَٰلِكَيَضْرِبُاللَّهُالْأَمْثَالَ Ameteremsha maji kutoka mbinguni na mabonde yakamiminika maji kwa kadiri yake na mvo ukachukua mapovu yaliyokusanyika juu yake. Na katika vile wanavyoyeyusha katika moto kwa kutaka mapambo au vyombo vingine hutokea povu mfano wake. Hivyo ndivyo Mwenyezi Mungu anavyopiga mfano wa haki na batili. Ama povu linakwenda bure; ama kinachowafaa watu hukaa kwenye … Read more

Tafakuri ya 11, Āyat 39:42: Usingizi na Kifo

اَللَّهُ يَتَوَفَّى الْأَنْفُسَ حِينَ مَوْتِهَا وَالَّتِي لَمْ تَمُتْ فِي مَنَامِهَا ۖ فَيُمْسِكُ الَّتِي قَضَىٰ عَلَيْهَا الْمَوْتَ وَيُرْسِلُ الْأُخْرَىٰ إِلَىٰ أَجَلٍ مُسَمًّىۚ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَاتٍ لِقَوْمٍ يَتَفَكَّرُونَ Mwenyezi Mungu huzipokea roho zinapokufa. Na zile zisizokufa wakati wa kulala kwake. Huzishika zilizohukumiwa kufa, na huzirudisha nyingine mpaka ufike wakati uliowekwa. Hakika katika hayo bila ya shaka … Read more

Reflection No. 202 on Q 19:4 – Answering of Prayers

 وَلَمْ أَكُنْ بِدُعَائِكَ رَبِّ شَقِيًّا Walam akun bi-du‘ā’ika Rabbi shaqiyya My Lord, I have never been disappointed in my prayers to You (Sūratu Maryam, No.19, Āyat 4) The above verse is part of the prayer of Nabī Zakariyyā when he asks Allah to grant him a child. He says he is old and feeble but … Read more

Tafakuri ya 10, Āyat 28:83: Tamaa ya Ubora

تِلْكَالدَّارُالْآخِرَةُنَجْعَلُهَالِلَّذِينَلَايُرِيدُونَعُلُوًّافِيالْأَرْضِوَلَافَسَادًاۚوَالْعَاقِبَةُلِلْمُتَّقِينَ Hayo ndiyo makazi ya Akhera, tumewafanyia wale wasiotaka kujitukuza duniani wala ufisadi. Na mwisho ni wa wenye takua. (Suratul Qasas, Na. 28, Aaya 83) Aya hii ya Qur’ani Tukufu inayochochea mawazo inashikilia siri ya ukweli mkubwa. Furaha na utukufu katika Akhera vimehifadhiwa kwa ajili ya wale ambao hawana tamaa ya kujikweza juu ya ardhi. … Read more